habari zenu wake kwa waume,mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 23 sasa,hila tatizo linalonisumbuaa nahisi sina hamu na wanaume!!!nilipokuwa mdogo kwakweli umri wa miaka 7 mpaka 12 kwakweli nilikuwa na katabia kachafu kwakweli kwetu tulikuwa hatuna pesa za hivyo lakini tulikuwa na pesa za kubadilishia mboga,sasa kuna bahadhi ya ndugu zetu huwa walikuwa wanakuja namiee ndio nilikuwa mjukuu wa kwanza tatizo ilikuwa ikifika usiku kuna huyo ndugu jamaaa alikua akijaa nalala naee chumba kimoja ikifika usiku nilikuwa namfunuaa nguoo namtiaa vidole siku nyingine kijiti cha kiberiti lakini alikuwa asemi kitu chochote ikafikia kipindi na yeye alikuwa akinitiaa kidole n hakuwahi kusema mpaka sasa niemkuwa mkubwa kwa bahati miee nikasafiri kwa sasa niko uk naishi huku na wazazi wangu lakini sikuwahi kusikia siri hiyo kuvuja,baada ya hapo nikapata boyfriend niakishi nae lakini alinitenda nilishamfumania na mwanamke ndani lakini nikawa nampenda,ikafikiaa kipindi nikasema na nafsi yangu nikaachana na yulee boyfriend wangu alikuwa wa kwanza nadhani ndio atakuwa wa mwisho,kwani naogopa wanaumee hila natamani muda mwingi natumia naangaliaa sex video namaliza haja zangu,sasa tatizo langu najiona katabia kanu kanarudi kwani nikipita njiani nikiona matako ya wanawake wenzangu natamani auu nikiona michoro ya chupi basi nasisimkwa yaani najiuliza hili ni tatizo gani???na je dawa yake nini kwakweli naumia kwa vile namiee ni msichana,je dawa yake ni mwanaume??na kwa sasa sitaki kuchezewa,niko mwanamke nimekamilika na hata ukiniona huwezi dhania kama nina tabiaa za kutamani wanawake wenzangu!!naomba unisadiee ndugu yangu,niondokane na tatizo hili.miee khanifah